Hii kujifariji kwa ' Here comes my big brother to beat your brains in' inadhalilisha sana. Pengine nakosea lakini kwa muda mrefu sana nimethubutu kuamini kwamba sisi waafrika ni binadamu kama binadamu wengine na kwamba utafika wakati nasi tuta kua kisayansi, kifikra, kijamii na hata kwenye siasa...
Ukiacha utenganisho wa jinsia ambao angalau una udhuru katika shule za mabweni za msingi na upili, ubaguzi wa aina yoyote, hasa ukabila, haufai kabisa. Nashindwa kupata picha itakuwaje kama kila mpigaji anayetaka kuwatongoza wafadhili akianzisha shule ya wasichana au wavulana wa kabila lake kwa...
Yeah! Utajiri mwingi wa mwanzoni wa watu wenye ukwasi mkubwa duniani ni ule unaoitwa wa 'from rags to riches' yaani kutoka kwenye matambara hadi kufikia utajiri. Kuna haja ya watanzania kubadili mindset zetu
Kupata PESA nyingi! Vingine vyote ni vionjo tu. Ukiwa na pesa hata Mungu anakua upande wako. Apewaye huongezewa..and 'God is on the side of the big battalions!
Mkuu kwenye hii dunia mafanikio ni kupata pesa tu. Full stop and long break. Hayo mengine ni zilipendwa tu kama hadithi za Esopo, mazungumzo ya alfu lela ulela au muziki wa Aurlus Mabele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.