Kwenye tickets zao kuna maelezo yanayomlinda mteja ikiwa atafanyiwa ndivyo sivyo. Naambatanishaa maelezo hayo hapa chini:
Check-In
Check-in counters
open 2 hours before
departure
Departure Gate
Departure gate
opens 40 minutes
before departure
Hand Baggage (1 Item)
56 x 45 x 25cm
1...
Kwenye tickets zao kuna maelezo yanayomlinda mteja ikiwa kawafanyiwa ndivyo sivyo. Naambatanisha kipengele hicho hapa chini:
Check-In
Check-in counters
open 2 hours before
departure
Departure Gate
Departure gate
opens 40 minutes
before departure
Hand Baggage (1 Item)
56 x 45 x 25cm...
Hivi tuliwahi kujiuliza kwa nini kuna viongozi wa dini wakati Quran na Biblia zimejaa tele? Tatizo lililopo hapa ni kwamba tunatawaliwa na ushabiki. Tukiweka kando maslahi ya vyama, dini na vitu kama hivyo na kuweka mbele maslahi ya nchi, HAKIKA ukweli uko wazi
Nadhani kuna tatizo pande zote. Kila kukicha tunawasikia viongozi wa Chama Tawala wakihamasisha wananchi wajitokeze kwa kwa wingi kujiandikisha ili waipigie katiba pendekezwa kura ya NDIYO. Je wao ndiyo wako sahihi kuwaamulia wananchi jinsi ya kupiga kura?
Warioba alikuwa Mwenyekiti wa Tume na hivyo msemaji. Hata hivyo, maoni yaliyotolewa hayakuwa ya kwake peke yake. Hivyo siyo busara hata kidogo kumshambulia yeye kama mtu binafsi.
Busara ni kujadili hoja na kufanya marekebisho panapostahili. Tunapoteza muda mwingi na rasirimali kujadili mtu...
Hivi ni kweli tunaweza kutegemea Kamati za Bunge katika usimamizi na uendeshaji wa serikali? Kwa uwezo upi walio nao kitaaluma? Mimi nafikiri kama kamati hizi zinaona kuna kasoro mahali fulani ingekuwa vyema kushughulika na vyombo vya usimamizi wa eneo husika na siyo taasisi au chama moja kwa moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.