Kutoka stendi mpya mpaka kituo cha pongwe nadhan ni kama km.1, pia kutoka kituo cha pongwe yan barabara kuu hadi kwenye eneo husika umbali wake hauzid km.1pia
Wakuu ninauza shamba liko maeneo ya Pongwe Tanga. Eneo linaukubwa wa eka 1.5, linafaa kwa makazi, huduma ya maji ipo, bei ni 3500000/=. Kwa maelezo zaid tunaweza kuwasiliana 0762007596
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.