Nilishawahi kukimbiwa na rafiki* niliomchukulia kama mdogo wangu) nilikuwa nimeachana na mme, sina income, sina savings, nimehamia sehemu mpya. Nilikuwa sijui mwisho wa mwezi bills nazilipaje.
Kuhusu kugawana mali baada ya divorce, je sheria ya kila mtu aondoke na alicholeta au makubaliano ya kugawa mali kabla ya ndoa yapo tz?itasaidia mtu asibaki jwenye ndoa kuogopa kupoteza alichokijenga .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.