Recent content by Load Rajpar

  1. L

    JamiiForums Tanzania Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

    Huo ninuwongo, Padri au Mchungaji jana uwezo wa kumsamehe mtu dhambi. Yeye mwenyewe anasubiria hukimu mbele ya Mwenyezimubu. Tusijidanganye.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kuna tatizo la kiufundi mahali kwenye kizazi hiki tukubali au tukatae au ni njia mpya ya siasa?

    Suala la kwamba Mkapa alifanya mengi sana kuliko wenzake ni DEBATABLE. Je unajua yeye ndiye aliyeuza Mashirika yetu yote kwa bei ya kutupa. Mfano Benki yoye ya NBC kwanei ya Jengo la Makao Makuu. Mashirika mengine kama TRC, ATC akayaacha mpaka yakafa kisubiria kuuzwa. Nyumba za Serikali...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Baraza Madaktari Tanzania (MCT) lamgomea Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuhusu Madaktari Watarajali

    1) Differing curricula by various Medical Schools 2) Differing competences by different graduates 3) The need to standardise the graduates to serve the people
  4. L

    JamiiForums Tanzania Baraza Madaktari Tanzania (MCT) lamgomea Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuhusu Madaktari Watarajali

    Watu wengine hawana akili kabisa. Kama huyo Mkufunzi wa Madaktari aliyeandika mwanza. Waziri aliunda Tume kuchunguza utaratibu wa utoaji na usahihishaji wa Mitihani ya Pre na Post Internship. Waziri HAKUSIMAMISHA shughuli za MCT. Uchunguzi utaendelea na utangaji wa Mitihani unaendelea kama...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Musiba anapaswa kumuomba msamaha Membe

    Hapa siyo mahali p kuomba msamaha. Ataomba kwakiasi cha deni kuzidi thamani ya mali zake ili kuepuka kufungwa kama Civil Prisoner.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Huyu Jenista Mhagama kuondoka Utumishi ilikuwa suala la muda tu!

    Siyo vyema kumlaumu Jenista kwa kuteuliwa katika nafasi alizowahi kuwepo. Wanaomshauri Rais kwa mfumo uliyopo ndiyo wenye lawama. Uwezo wake ni mdogo kiuelewa na elimu yake ya kuunga. Ila mzuri katika fitina na maneuvering of things. Wazee wa vetting wafanye kazi zao vizuri na utaratibu wa...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

    Sendi Ilikuwa Nado Inajengwa Inaonekana kwamba ujenzi ulikuwa haujakamilika. Na sasa hivi haitumiki. Kwa hiyo sababu siyo watu kuwa busy katka kilimo
  8. L

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

    Radio Tumaini kuna Waislamu na Wakiristu wangapi?
  9. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Mwigulu Nchemba alikejeli Bunge, ataka lijadili uganga wa kienyeji sio uchumi

    Mwigulu siyo mjinga. Atakuwa amecheza na mfumo wa computer kufuta maneno yake ktk Hansard kabla ya kukanusha
  10. L

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Udokta wangu sio wa kupewa, niliusomea

    Kwa hiyo anachosema Mwigulu ni kwamba Ph.D yake ndiyo yenye maana na siyo ile ya Heshima kama aliyopewa SSH. Sasa yeye anafanyaje kazi chini ya mtu mwenye taaluma hafifu?
  11. L

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Miradi mingi unayoitaja kuanzishwa na Magufuli ilianzishwa wakati wa Kikwete. Magufuli alikutana na wakati wa kuiyekeleza tu. Hii ni pamoja na Daraja la Tanzanite, Reli ya SGR (Magufuli aliongeza SHR kuwa ya Umeme), Flyovers zote za Dar, Barabara za Kisasa katika Miji yetu na mingineyo. Mradi...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Ditopile: Nchi yetu inaaminiwa ndiyo maana inakopesheka

    Mumesoma Takwimu za kukopa za nchi za SADC?
  13. L

    JamiiForums Tanzania Ditopile: Nchi yetu inaaminiwa ndiyo maana inakopesheka

    SADC: RATIO OF NATIONAL DEBT TO GDP 1. Zambia 119.14% 2. Mozambique 102.44% 3. Zimbabwe. 92.64% 4. Mauritius. 90.02% 5. Namibia. 71.08% 6. South Africa. 67.99% 7. Seychelles 64.86% 8. Malawi 58.80% 9. Angola 56.56% 10. Madagascar 53.86% 11. Lesotho 50.73% 12. Eswatini 45.80% 13. Tanzania...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

    Mmteule, hivi Waislamu hawastahili kuwa viongozi na kupewa haki zao; kwa kiwa tu ni Waislamu. Inaonekana wewe ndiyo mdini na una akili fupi sana. Kwa akili hizi, hugai kuwa kiongozi kwani ungesababisha vurugu nyingi zisizokuwa na sababu.
Back
Top Bottom