Recent content by lmollel64

  1. L

    Tuliosoma Kigurunyembe TTC (Motco) Tujikumbushe haya

    Sikwenda TTC lakini niliishi na mwalimu wa TTC sijui mnafahamu alikuwa anaitwa Parsalaw, sikumbuki mwaka gani hasa nadhani 1976-1978. ninakumbuka vijiji vya ujamaa tulikuwa tunaishi kwenye nyumba ya waalimu directly across from primary school. Nilikuwa na miaka 8 tu lakini ninakumbuka...
  2. L

    Enaboishu Secondary School mpo? Tujadiliane

    Enaboishu sec school 1980-1981, ninamkumbuka Nkini kabisa. whatever happened to him. is he still alive?
Back
Top Bottom