Hamtaki kutoa hela kwa Mungu kuwa mtafirisika ila kuhonga, kulewa na starehe nyingine hazifirisi basi sawa. Mkristo wa kweli huwezi sita mtolea Mungu neno liende maana wewe huna kwa kupeleka hela kwa kijinga. Kwanza huna mikosi ya kupoteza hela kijinga, hutoi hela kwa waganga, hufanyi mastarehe...
Sasa mbona taasisi za kizungu ndo zinaendesha makanisa ya africa aisee hii story umetoa wapi? Kwahiyo unadhani hii misaada ya kikanisa inaletwa africa hela zinakuwa zimetoka wapi?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Sio kila kitu mpaka muhusianishe na ukoloni ili ndo watu wawaone mnaongea vya maana sana jamani. Sasa wewe mwafrika unatoa hela gani kanisani kusema unawafaidisha wazungu. Hivi unajua ni kiasi gani wazungu wamechangia kwenye hayo makanisa mpaka kufika hapo yalipo. Labda useme waafrica baadhi...
Na vipi kuhusu nafsi ya Mungu mkuu ambae hakuna binadamu ambae amewahi kuiona kamwe iketiyo mahali patakatifu juu mbinguni?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mi ni mshabiki wa hip hop ila kiukweli hip hop ni mbaya na haifai kwa jamii zetu. Kule ni drugs, guns and violence hasa na kitu kinaitwa african american culture kukimbia watoto kuwaachia single mothers na thug life eti one wife ,mistress and girlfriend(prostitution).
Sent from my SM-G955U...
There is no such thing as uhuru wa kifedha hapa duniani tena more money nd kifungo zaidi na zaidi. Kwanza aina ya marafiki inachange from nkipata b15 tu ntakuwa na furaha na story za namna hiyo kwa watu unaokuwa nao around to nna b15 bank natakiwa nifanye nini. Unakuja kugundua it's lonely at...
Matajiri ugonjwa wao mkubwa ni power mkuu na maswala ya eternal life sababu ya kuhofia kupoteza vingi.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Na kwanini Mungu amtume malaika kwa mtoto mdogo ambae hawezi mfundisha kitu chochote mtu mzima na uelewa wake unakuwa mdogo? Au unadhani kumuona malaika ni just as flexing ya utakatifu tu au? Umekazania la mtoto mtakatifu mtakatifu ko utakatifu ni kumuona malaika tu?
Sent from my SM-G955U...
Wewe mwafrika umeibiwa na sayansi kuliko dini ila bado unaitetea na kuishobokea hapa. Watu wamaefikaje hapa africa kirahisi(sayansi) wamechimbaje vya kuchimba vyetu( sayansi) wameachaje neo colonialism ( sayansi) wamewezaje kukutamanisha wewe na kizazi chako fantasy world ikiwa na wao...
Kwahiyo hao waislamu wanajua sana historia ya wayahudi kuliko hata wayahudi wenyewe? Maana wayahudi biblia yao inatumia maandiko sawa na agano la kale la biblia takatifu.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Na angemtokea kila mtu na akafa sababu ya Mungu jinsi anavyoichukia dhambi ungesema Mungu muonevu kwanini asiwatokee watu wachache watakatifu ili sisi wengine tupone. Wakati Mungu anamtokea Mussa kumpa zile mbao mbili hivyo hivyo wafuasi wake waliomba waongee na Mungu direct radi zilizopiga pale...
Mwafrica ni mtu aliepotea kutokana na husuda na kutamani vya majirani ili hali hajui hata jirani kafikaje hapo. Hao mnaowaita sijui technlogical advanced sijui kitu gani utagundua it's all bullshit. Ukweli ni kuwa wao wamegraduate kutoka uchawi mpaka kwenye advanced level ya kuongea na baba wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.