Recent content by lkasumo

  1. L

    Jamani, katika hili JK apongezwe!!

    Unajua kuna watu kazi yao kukosoa tu,rais ana majuku mazito ya kuliongoza taifa hili,ndio maana kuna amani,hivi mtanapotoa lawama rais kafanya hiki mara kile mnapata nini,unajua mtu yeyote asiye nashukrani ukifuatilia utaona ana matatizo lukuki,nakushukuru uliyeleta hii thread hapa javini,na...
  2. L

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Unajua wewe akili yako ndogo,Rais wangu hawajamaa kuwapa UHURU wa kuongea wanakosa ustaarabu,upende usipende mamlaka yoyote ile iwe mbaya au Nzuri imewekwa na MUNGU,maneno yako hayo machafu unayotoa unashindana na MUNGU aliyemweka HAPO alipo.Ndugu hutakiwi kumlaumu Rais wako hata kidogo,mimi sio...
  3. L

    Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA Arusha - Mei 02, 2013

    UKUBWA WA PUA SI WINGI WA KAMASI,CHADEMA HAWANA JIPYA,NI CHAMA KINACHOTAKA CHEAP POPULARITY,MSIJIDAGANYE HATA KIDOGO CDM HAKIWEZI KUCHUKUA DOLLA KWA NAMNA YEYOTE,TUNAFURAHIA WANALETA CHANGAMOTO KATIKA SIASA ZA TANZANIA,MIMI SIO MSHABIKI WA VYAMA ILA NAONGELEA HALI HALISI,NYIE WOTE MNAOFIKIRIA...
Back
Top Bottom