Recent content by livingjoh

  1. livingjoh

    CHADEMA haina chao kusini

    kwani chadema makao makuu n moshi?ACT mnayemngoja kama mkomboz kafanya nn kigoma?maendeleo hyaletw na chama kaka ...n ww mwenyw...jwan kuhama kwa ikulu pataathr nn...mbona iko dodoma na wagogo hal ya maisha inazd kua...
  2. livingjoh

    CHADEMA haina chao kusini

    hamna cha ukomboz apo....fisi ni fisi....haina maana akibahatisha minofu atasahau mifupa!!kjana alitaka kuonyesha umaarufu lakin hakujua anacheza karata na fildmarshall(mbowe na t.lisuu the geneus).....kisiasa nauona mwisho wa ACT kama uleeeee wa TLP
  3. livingjoh

    CHADEMA haina chao kusini

    huh huhhhhhhhhh......conservatist h aoooooo......::::differentiat them with kaskazin utagundua....
  4. livingjoh

    CHADEMA haina chao kusini

    ila kusin wanafahamika....ni conservatism hao....::::::::dats y mwalimu aliwap kipau mbele akijua hawana madhara
  5. livingjoh

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    iv kutbu tezi dume kunapunguza uwezo wa maamuz na ku reason eee
  6. livingjoh

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    wasomi mna akili...en ur always updated. ..wazee wa dar weng n cheza bao (NEXT)....empty mind lazma wajazilishwe kwa pumba
  7. livingjoh

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    makini kwenye kuongoza wavimba macho wa dar....aje klmnjaro kuhutubia haya...HAPATATOSHANA COZ ANAONGEA WTHOUT REFERENCE S AND REALITY
  8. livingjoh

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    uyu jamaa hamna ktu ye anafananisha escrow na mgogoro wa wacheza bao......et pesa n ya iptl....bt apo apo anadai baada ya mgawanyo imeiletea serkal umaskin.....whch z whch apa ...izi pumba anawalsha wenye njaa wa dar aende kwa wazee wa mosh ka watamskilza.!!!
  9. livingjoh

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    iv jk anaelezea anachojua kuhus escrow au ukwel wa sakata la escrow. ????
  10. livingjoh

    DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

    mjepo we ni sawa na mwendawazimu kakimbilia kwenye nyumba ya vchaa.....tena nahisi ulisoma enzi za wakurupurukaji wasio na sababu...rada...china issues hukumbuku? au we ndo wale waelewa baadae.?
  11. livingjoh

    DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

    na huu ni uelewa wako tuu wa kufuata dead statistical details. ....kwan unafurahia nin kutoka kwenye ilo kundi la nchi maskini wakat ugumu wa maisha ndo unaongezeka siku adi kesho.???
  12. livingjoh

    Mh Rais Kikwete Akiwa Wodini Marekani

    wanatumia luga ngum tuu mkuu..amna kiswahl ngumu apa ilo ni Busha
  13. livingjoh

    Sugu aelezea sakata la ndege ya Rais wa China

    sugu kichwa...kwa hoja hyo bado usemi wa mnyka una nguvu kuwa.''tumefikia umaskn huu kwa juhud za ccm.''..mnaomponda sugu wote..ACHENI UKALE(CONSERVATISM)
  14. livingjoh

    HESLB wameanza kupokea appeals

    sawa mkuu ila prbblty ya walopata mkopo na hawajaenda chuoni n ndogo sana..
Back
Top Bottom