Recent content by little finger

  1. little finger

    Utofauti kupata kazi Wizarani na halmashauri upoje upande wa maslahi kwa anaejua?

    Mkuu watu wanaongelea wizarani sio taasisi/shirika/wakala zilizopo chini ya wizara, TCRA ni taasisi inayojitegemea.
  2. little finger

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Nikiweka 30 ubora wa game unapungua kabisa… Nina bajeti ya 800k njia gani nzuri ya kuunda PC itakayocheza FC24 smooth?
  3. little finger

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Zipo updated mkuu, ni juzi tu nimeupdate
  4. little finger

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Mkuu vyote nimeweka hivyo, option ya high perfomance, pia uwa nacheza ikiwa inacharge…nikiweka low settings ndo inakubali nayo bado haipo smooth kivile
  5. little finger

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Mkuu nina laptop yenye mx130 lakini inasukuma Fifa19 kwa tabu sana tena ni low settings, 1030 itaweza vipi Fc24?
  6. little finger

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Hivi mkuu Nvdia gt 1030 inaweza kurun fc24 bila shida yoyote?
  7. little finger

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Habari zenu wakuu Hivi ipi ni option nzuri kwenda nayo, Desktop kwa ajili ya gaming au PS5 Kama bajeti ya Ps5 ni almost 1.5M, je kwa 1M naweza kuunda desktop itakayotoa experience zaidi ya PS5? Natanguliza shukrani. Cc: Chief-Mkwawa
  8. little finger

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kumbe ishu sio utumishi ni taasisi husika na uhitaji wa watumishi kwa haraka Kuna watu wamefanya oral January 15, leo wameitwa kazini
  9. little finger

    Huwa unasafirisha vipi mzigo wako kutoka Kariakoo kwenda mikoani kwa urahisi na nafuu?

    Habari zenu Msaada wadau, nataka kusafirisha vitu vya ndani (kitanda, godoro, kabati, makochi, friji etc) kutoka Dar kwenda Mtwara mjini. Niwatafute wakina nani/kampuni gani? Vipi gharama zinaweza kuwa kiasi gani? Pia kama kuna ushauri mwingine wowote napokea. Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom