Habari,
Mm ni fundi simu na ninapenda kuzidi kujikita zaidi katika kupata maarifa mapya ya kazi yangu so kuna suala la kubadilisha Memory (internal), Proccessor, Power IC.
Napenda kujua kubadilisha hivyo vitu haswa kwny simu hizi za MTK, SPD na Qualcom. Hivyo ningependa kujua ni vifaa gani...
Habari,
Ninihitaji kuagiza bidhaa Aliexpress so sijawahi kufanya hivyo hata siku moja
Hivyo naomba wenye kufahamu mnieleweshe ili niwe na ufahamu niwe naagiza Bidhaa huko na ziweze kufika salama
Voda nyie sahv usanii umewazidi hamna kitu yaan network inazingua cm hazitoki ukituma txt km umeipeleka kwa miguu inachelewa kufika,ukiweka vocha hata kama una bundle unakuta mshaikata so kama mmeshindwa its better mkazima vimitambo vyenu mkafanya shughuli zingine jaman mnatukera
Nyie voda mnazingua mmenifanya cku hizi nicwe naweka credit nyingi kwenye cm yangu kozi nikiweka nakuta imepungua kiajabu ajabu tu au cku hizi mnatufanyia mazingaombwe? Acheni kuzingua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.