Recent content by lisb

  1. L

    I hate my wife

    Usijipe mawazo sana kwa kosa hill sijui kakutamkia nini waangalie watoto wako. Ndoa nyingi watu wanavumilia kwaajili ya watoto.
  2. L

    I hate my wife

    Kwanza pata mda Wa kupumzika, hiyo kichwa ngumu achana nae kabisa hiyo mkeo Fanya kama humuoni ila yupo, na usiyafikirie anayo yasema. Wewe ni niwathamani sana mbele za za mungu. Embu muangalie mungu anae kupa kupumua.sisi wote tuna madhaifu yetu.
  3. L

    Mama hamtaki mchumba wangu

    Wamama wengi Wa kichaga hawapendi wakwe zao asilimia kubwa.( wapora)
Back
Top Bottom