Recent content by liquid fire

  1. liquid fire

    Uhakika ni kuwa hali waliyonayo vijana ni mbaya mnoo. Baada ya kupigika kiuchumi na kimatumaini kitakachofuata ni kupigika afya ya akili

    Vijana tunapaswa ku lasimisha biashara zote na kuzifanya kuwa ni ajira lasmi na kuachana na kusubiri kuajiliwa.Mfano nlienda uk kazi ya kuosha magari inafanywa ki smart na imekuwa ikiwapa vijana wa kule kipato ila huku kwetu hatutaki hizi kazi.
  2. liquid fire

    Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

    Inauma Sana kwa kweli umeanza coz katikati unaludishwa bila Sababu Ya Msingi, kwani Vipimo hamuwafanyii Kabla ya kuanza kozi Ujinga Tu.. [emoji706]
Back
Top Bottom