Recent content by LionsGate

  1. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    Sasa ndo kanivutiya kamba ya tiyara, na tiyari imeshuka viwango kwa mfinyo, kwa mistuko na khofu kila ninapo utazama uso usiyo na huruma baada ya kunifupizia safari... Najistukia nimebaki mdomo wazi na mkao ule ule pindi alipo jiengua na kwenda maliwatoni! Nilijiambia kuwa huenda akirudi, ndo...
  2. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    Khabarini wanajamvi. Mpo? Ahadi nimetimiza. Sehemu hiyoo...inafuatia..
  3. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    TWO OF TWO, FINAL tonight, stay tunned...
  4. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    A ONE MAN SHOW PART TWO OF TWO: _Jibu: "It sounds you're geting your girl back! You Be the Judge, you're doing fine... Don't cheat, okay?" Dah! Hata kama wamenipa moyo, lakini sasa...? Nikaubadili mziki, nikaweka kichupa anacho kielewa kwenye show, baada ya mapumziko ya Yoga. Akiwa ameshuka...
  5. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    Labda kuna confusion uliyo ipata kwa sababu nilichanga 2 stories in one. Ya kwanza niliyo ichukuwa, ilikuwa ni ya mdada ambae alichepuka halafu akaachika. Muktadha wa story yake, ulifanana kwa kiasi kikubwa na yaliyo nitokea na mke wangu. Nilipita nayo. Nadhani kweli nilikosea. Afadhali...
  6. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    Khabarini wadau? Mbona kumepooza humu? Toeni tafadhali maoni yenu na likes walau kiduchu. Usiku huu nikitulia nitabandika kitu. Stay put, please...
  7. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    THIS IS FOR ALL WANNABES POISED GENTLEMEN: A MESSAGE FROM A BROTHER FROM ANOTHER MOTHER FOR YOU: Your body is God's Temple. So kindly use it wisely. Whatever juice you've gotten in you, you shuld know it is a Heavenly Privilege. It is an aquisition that is not restricted to only you. So don't...
  8. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    MY LITTLE TOKEN TO MY DEAR READERS: ALWAYS KEEP IN MIND THAT LIFE IS FULL OF SURPRISES - ONE IS NEVER SAFE FROM OBSTACLES. We all know that sickness or any types of trouble cannot be cured by a majic wand or a finger snap. That was just the beginning of a great ordeal! A rollercoaster! We...
  9. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    Tukio la Yoga Hour: Nilipo shuka kupiga simu, ile nafika tuu mwisho wa ngazi, hawa hapa!! Machizi wangu mapacha! Dah! Macho yao hapo hapo kwenyewe yakatulia!! Nauliza, hawajalala. Ila dada yao kalala...! Tamko mkato: Naumwa - joto - bafu huku - mama yupo bafuni - nyie kalaleni...! Dah! Kama...
  10. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    Samahani wanazengwe. Niliahidi nitabandika kitu, sijafanya. Nilighafilika...
  11. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    A ONE MAN SHOW PART ONE OF TWO: A Never give up, never give in and the winner takes all moment (Niliifanya ishara ya penzi motomoto). Mashairi ya Singeli yanauponza mwili. Nilijikuta mkavu tuu, namchungulia mwenzangu kupitia miguu yangu nikiwa nimeinama... akaifanya ishara ya kuchukuwa...
  12. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    Naendelea kukutayarishieni show yenyewe... kesho tena muda huu huu au usiku, itakuwa tiyari.
  13. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    Hii iliwahi tokea akaniachia ushindi; dhamira ilikuwa tuu kunipima ili aone kama nilizingatia ufundi na viwango vya Judo mchangani, na kama kweli mkanda niliustahiki. Kwa kuwafurahisha watoto, baada ya kuvipitia vipengele vyote vya viwango, alijiachia hadi nikamtwanga kweli! Sasa vile nilisha...
  14. L

    Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

    TARTIBU ZA AWALI KABLA TUKIO Huyu alikuwa kwenye mfumo wa kuzuia mimba. Halafu jopo la madaktari linamtaka awe na Full Hormone Field ili wajipange. Basi ilibidiwafanye Override ya tembe zake(kubatilisha) - Nimuekee Placebo(vidonge fakere) kwenye mkoba wake kwa ile ile idadi nitakayo iona...
Back
Top Bottom