Nashukuru mkuu. Ila kwa mwonekano ili uweze kununua bidhaa inahitaji upembuzi wa hali ya juu sana ili kupata bidhaa ambazo ni cheap ili utakapoagiza uweze kupata profit pia. Thank you very much.
Mkuu naomba msaada jana katika pita pita zangu aliexpress nimekuta bei ya bidhaa zikiwa in PIECE OR LOT sasa hiyo per peice nimekuta Nivea ikiuzwa dola 17.33 sawa na kama elfu 33,000 za kibongo sasa swali najiuliza hiyo bei anaposema per PEICE anamaanisha Dozen au Cutton au ndo ka unit kamoja..???
NNZ CLASSIC BEAUTY
Nunua na urudishiwe pesa yako.
Vigezo na Masharti
1. Mteja aliye kwenye droo ya punguzo la bei tu ndio atakayeweza kulipwa faida hiyo.
2. Sifa za mteja aliyeingia kwenye droo ya punguzo la bei ni yule aliye fanya manunuzi au kushawishi watu kununua bidhaa kumi ndani ya...
Uzuri wa JF watu wapo open ukitaka kutoa fursa kuww open hiyo ndo siri kubwa ya humu. Kwan kuna watu wanatoa fursa nyeti hata yako unayotaka kuitoa ki usiri unaweza ona cha mtoto. Mwaga tu kiongozi humu full uzalendo.
Badala ujibu postive posts unalalamika na hao watu au wanaongea kweli nn...? Hii ndo jamii forum bana weka fursa tusonge ukileta ujanja ujanja unapotezwa na critical thinker
Sory kwa kuingilia thread. But naomba kusaidiwa nina scalp infection kwa muda mrefu sasa inanisumbua nimepewa ant biotic inapotea then inarudi tena nifanyeje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.