Ndugu zangu tungeweza kuwa na viongozi wa kweli na wenye uchungu na nchi hii tungekuwa mbali kimaendeleo. Hebu tuangalie mfano wa wenzetu,mkurugenzi mkuu wa BBC amewajibika kwa kosa lisilo lake moja kwa moja, ili tu kuweka mbele masilahi ya Shirika na Taifa lake mbele,sio hapa kwetu watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.