uMwakyembe mnafiki, mbona ulisema ungesema yote serikali ingebomoka, Je huyo Magufuli kauza nyumba ngapi za serkali, Hasara za kukurupuka ngapi, Magufuli hafai uraisi, Na Mwakyebe unajichora kamuulize sita na dili lenu la kumchafua Lowasa, Hatudanganyiki mwaka huu, na Kyela hatukutaki anza...
Jamani mwacheni mtumishi wa bwana, Mbona PhD ile ya Nchimbi ya Mzumbe hamkuhoji amesoma miaka mingapi? CCM mafisadi mpaka wa watoto wao wenyewe,angalia la miss tanzania,baba yupo tayari kudhalilisha mtoto
Mbona Mkinga alisha nunuliwa kitambo na mafisadi ya CCM,za kwanza walipitishia Voda, alijua milioni mia atakula mpaka afe, muda kidogo akatanga kuwa zimeisha, sasa hivi jina lake lipo kwenye payroll ya Lumumba
Hi kali, leo eti waislam na wakristo.Lakini haishangazi hata Yuda alimsaliti Yuda kwa hela vipande thelathini. Hawa jaamaa wanaogopa bunge likisitishwa watakosa hizo laki tatu. Lakini bora mkumbuke maisha yenu na vizazi vyenu vya mbele kuliko kufikiria hiyo laki tatu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.