Ingia tu kwenye ajira portal jaribu kuomba, kama unakidhi vigezo itakubali kama siyo itakataa, japo nasikia huwa kuna jinsi wengine wanafanyaga ikakubali hata kama ameover qualify
MTU ANAHITAJI MSAADA WA MAWAZO, NA CASE YAKE NI KAMA ILIVYO HAPA
Kama nilimaliza Degree yangu 2014, kisha mwaka 2016 nikasoma kozi ngazi ya cheti, na mwaka 2019 nikatumia elimu ngazi ya cheti kuomba kazi kupitia sekretariate ya Ajira, nikafaulu ule usaili na kupata kazi, na sasa nalipwa kama...
Wengine wanafanikiwa sana, mfano ukiangalia kwenye ile portal, utaona kwenye Academic qualification kuna option ya edit, na pale kwenye Transcript kuna option ya delete. watu wamefanya hivyo, lakini sina uhakka, huenda waliwasiliana na Sekretariati
Kuna jamaa angu fulani, imekuwa ngumu kwake maana alipo hapo kila mtu anajua aliingia na astashahada wakati ana degree, na kilichosababisha ni wenzake walioingia nae interview ndo alisoma nao certificate. Lakini suala ni kujifanya kama hujui ili goma liende
Ahsante sana, maana hili jambo limekuwa kama vile lina usiri fulani kwenye utumishi wa umma na hasa kwa sisi tunaotegemea kujiunga na utumishi wa umma. Ahsante kwa kutupa uzoefu wako ndani ya utumishi wa umma
Recategorization ni kwa wale waliojiendeleza ndani ya utumishi kwenye fani tofauti na aliyoajiriwa nayo. Kinachoongelewa hapa ni suala la mtu mwenye degree na ziada ya certificate kutumia elimu ngazi ya cheti alichokipata baada ya kumaliza degree ili kuomba kazi inayotaka mtu mwenye Elimu ya...
Udanganyifu ni nini? kutoa taarifa za uongo ni nini? Kwenye kanuni za uendeshaji sekretariati ya ajira kifungu cha 37(1c), wanasheria tusaidieni, maana tusije ingia kwenye utumishi wa umma kimakosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.