Mwajiri kwenye Utumishi wa Umma atakubali cheti changu cha elimu ya juu nilichokificha

linkoln1888

Member
Jul 9, 2021
21
15
MTU ANAHITAJI MSAADA WA MAWAZO, NA CASE YAKE NI KAMA ILIVYO HAPA

Kama nilimaliza Degree yangu 2014, kisha mwaka 2016 nikasoma kozi ngazi ya cheti, na mwaka 2019 nikatumia elimu ngazi ya cheti kuomba kazi kupitia sekretariate ya Ajira, nikafaulu ule usaili na kupata kazi, na sasa nalipwa kama mwenye elimu ya cheti, Je mwajiri atanikubalia nikimpa cheti cha degree, ikiwa degree yangu ni ya kabla ya kuajiriwa kwangu hapo ofisini?

Swali
1. Je, haitaleta utata?
2. Je, naweza omba kazi nyingine serikalini kwa degree yangu? Je, nifanyaje kumwomba mwajiri nikipeleka barua ya kuniruhusu nihudhurie usaili kwenye Shirika lingine la umma?
3. Au mwajiri wangu atanikubalia kunifanyia recategorization?

Nisaidieni jamani, kufanya kazi za elimu ya chini wakati nina degree siyo poa, na mshahara ni kidogo kinyama.
 
La pili linawezekana ila ukitaka ku apply unaenda ofisini kwako Wana verify Kwanza Kisha una attach
 
K
MTU ANAHITAJI MSAADA WA MAWAZO, NA CASE YAKE NI KAMA ILIVYO HAPA

Kama nilimaliza Degree yangu 2014, kisha mwaka 2016 nikasoma kozi ngazi ya cheti, na mwaka 2019 nikatumia elimu ngazi ya cheti kuomba kazi kupitia sekretariate ya Ajira, nikafaulu ule usaili na kupata kazi, na sasa nalipwa kama mwenye elimu ya cheti, Je mwajiri atanikubalia nikimpa cheti cha degree, ikiwa degree yangu ni ya kabla ya kuajiriwa kwangu hapo ofisini?

Swali
1. Je, haitaleta utata?
2. Je, naweza omba kazi nyingine serikalini kwa degree yangu? Je, nifanyaje kumwomba mwajiri nikipeleka barua ya kuniruhusu nihudhurie usaili kwenye Shirika lingine la umma?
3. Au mwajiri wangu atanikubalia kunifanyia recategorization?

Nisaidieni jamani, kufanya kazi za elimu ya chini wakati nina degree siyo poa, na mshahara ni kidogo kinyama.
Kama cheti chako kinazidi chake tatizo litaanzia hapo
 
Je,nitatizo ukishakua na degree ukasomea taaluma nyingine ambayo Kwa sasa una imani inaweza kukusaidia kupata ajira katika utumishi wa umma ? Kama ni tatizo basi serikali itoe maelekezo kuwa vijana wasisome tena taaluma zingine hadi waajiriwe ,la sivyo itakua ni usanii wa ada za bure kwa hizo taaluma walizojiendeleza maana zitakua Hazina msaada tena katika utumishi wa umma.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom