Habari, naomba nisaidie waungwana nimepewa kazi nitafute kila mkoa namba za simu za bajaji, pikipiki na tax majina ya huyo dereva na anapopaki.
Dhumuni la kufanya hivi ni tukiwa na wateja wetu wanaokuja mikoani tufanye biashara tutakuwa tunawasiliana unawachukua na kuwapeleka sehemu mbalimbali...
Nataman kujiajiri mwenyewe..je mtaj wa 5 naweza kujiajir na biashara gani wana jf.?..naomben mawazo yenu kama mdogo wenu na ntayafanyia kaz mana naamin naweza .Wazoefu wa biashara naombeni mawazo yenu naamin wote humu ni magrt thnker's ..Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.