Mm naona ingekuw vyema kabla ya ndoa wahusika wakuu waingie kwny dini zao wafundishwe somo la ndoa kwa mwaka mzima ndio jambo ndoa lifanyik.
Hii itapunguz vilio na mmomonyoko wa ndoa za kileo
Duh pole sana kaka hakika sisi wanawake baadhi yetu tunaroho mbaya hivi unaujasir upi kubeba mimba nje na kumsingizia mume nabado kujarb kutoa uhai wa mtoto kwel anastahil adhabu ya kifo
Hapo ndio tunapofeli hatuish kiuhalisia nawengi huficha mapungufu yao kwa act tabia zawengin binafc sipend fake life nibora anaekuja kwaajili ya kunipenda atambue vitu vitatu.
1. Mm nibinadam hivyo asinifananishe na malaika au mpenz wake alieachan nae.
2. Aheshimu maisha yangu iwe namtoto au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.