Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,749
- 13,395
Nilipata ila aliniacha alipo enda chuo, nikapa mwingne tena nilipo amua kurudi kusoma(nikiwa mwaka wa pili nasaka kadiploma ) huyu niliamin nimepata ila mwisho wa siku tumerudi kitaani akaniambia anaenda kwao kumbe anaenda kuolewa nikaja ambiwa na rafiki zake kuwa kaisha olewa na kazalishwa tayari na hayupo kwao kama alivyo kuwa ananiambia bali yupo kwa mme wake(mji huo huo niliopo) na no ya sim kabadiriasha. Nikafuta kila kitu chake kuanzia namba za ndugu na rafiki zake. So now nipo single sienjoy ila najitaidi kufocus kwenye kutafta maishaUshapata mwingine?