Recent content by lilulilu

  1. lilulilu

    Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

    Kasoma kataarifa kidogo tu mtandaoni anajiona GURU
  2. lilulilu

    Mhandisi Mkazi, Upembuzi yakinifu wa 1980 unatumika bwawa la JNHPP

    Last paragraph sound more powerful.we need both projects to work together for industrial uses and social uses
  3. lilulilu

    Picha ya Rais: RC Makonda amtaka Msanii Idris Sultan kujisalimisha kituo cha Polisi

    Chachu Ombara, wanajuana hao wala msiumize ata kichwa
  4. lilulilu

    Commentary Kuhusu Video ya Tundu Lissu Inayosambazwa

    I never see any logic on ur article.you around a bush and that I the problem only people who have narrow mind will hide weakness of somebody by his achievement.lisu split out with evidence how the man destruct our nation on matter of tribalism,a utilitarian.u still protect him with ur illogical...
  5. lilulilu

    WHO: Hakuna ugonjwa wa Zika Tanzania

    Kwanini aongee kwenye media while Kuna utafiti zaidi wa kusubilia
  6. lilulilu

    Majibu sahihi kwa Charles Kitwanga juu ya Ndege Mpya za ATCL

    Napenda sana fact kuliko mboyoyo.
  7. lilulilu

    Kitila Mkumbo: Vyama vyote vikongwe vya siasa Tanzania,havina Demokrasia

    Kitila hakika nikiwa nasoma nakala zako napata chakula cha ubungo sana. Lakini lazima tukubal democrasia Africa hatuiwez na hatutaiweza hao watu wa maghalibi wanataka tuifate sababu ndo njia pekee ya kutukandamiza baada ya ukolon,kwa sasa Africa IPO kwenye machafuko mengi sababu ya vibaraka wa...
  8. lilulilu

    Mbowe atangaza UKAWA kutokuwa na Imani na Naibu Spika, hawatohudhuria vikao vitakavyoongozwa nae

    Siasa za bungen ndo zinafanya aonekane tulia mbaya Ata angekuwa tundu lisu n naibu speaker bado upande wa ccm angeonekana mbaya, So cjaona tatzo la tulia kama mbowe anavyodai
  9. lilulilu

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anne Kilango Malecela

    Once unapokua leader lazima uchukue maamuz magum,ili ukitoa agizo Liwe linatekelezwa. Mtu kama mama Anna n mtu mkubwa ungeweza ogopa mkutumbua kwa jina alilonalo sasa katumbuliwa Fundisho kwa wengine zama za kutotekeleza maagizo ya msingi zimekwisha
  10. lilulilu

    RC Makonda kuleta wachina kuzoa taka na kutengeneza Madawati

    UPI ujinga sasa kukata miti na kutengeneza madawati,au kuzoa taka na kutengeneza dawati at the same time unazuia deforestation.
  11. lilulilu

    RC Makonda kuleta wachina kuzoa taka na kutengeneza Madawati

    Pana mambo mawili unazoa taka zen unazitransform kuwa madawati,zinasaidia.mbona hatujaona watz wakichangamkia io fursa,au akili inakuja baada kusikia Kuna wachina
Back
Top Bottom