I never see any logic on ur article.you around a bush and that I the problem only people who have narrow mind will hide weakness of somebody by his achievement.lisu split out with evidence how the man destruct our nation on matter of tribalism,a utilitarian.u still protect him with ur illogical...
Kitila hakika nikiwa nasoma nakala zako napata chakula cha ubungo sana.
Lakini lazima tukubal democrasia Africa hatuiwez na hatutaiweza hao watu wa maghalibi wanataka tuifate sababu ndo njia pekee ya kutukandamiza baada ya ukolon,kwa sasa Africa IPO kwenye machafuko mengi sababu ya vibaraka wa...
Siasa za bungen ndo zinafanya aonekane tulia mbaya Ata angekuwa tundu lisu n naibu speaker bado upande wa ccm angeonekana mbaya,
So cjaona tatzo la tulia kama mbowe anavyodai
Once unapokua leader lazima uchukue maamuz magum,ili ukitoa agizo Liwe linatekelezwa.
Mtu kama mama Anna n mtu mkubwa ungeweza ogopa mkutumbua kwa jina alilonalo sasa katumbuliwa
Fundisho kwa wengine zama za kutotekeleza maagizo ya msingi zimekwisha
Pana mambo mawili unazoa taka zen unazitransform kuwa madawati,zinasaidia.mbona hatujaona watz wakichangamkia io fursa,au akili inakuja baada kusikia Kuna wachina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.