Hii gari ya 4 ractis new model
Ya kwanza ractis 0ld ya pili ist ya tatu vitz hii nilonayo ni ractis new model saiv si kwamba naongea sina gari au sikkumiliki gari zote hizo
Shukran bro kwa mira hapana kimuonekano sijaipenda ila engine ndogo niliamini hivo pia vitz niliyonunua ilikuwa 990cc lakini nikapata kitu kilele ist ilikuwa 1490cc na ractis the same 1490cc ila zaidi nitatafta hela sisi tusokuwa na hela huwa tuna budget mpaka ya mafuta kwa mwezi
Issue sio kutafuta hela mkuu hakuna aloanza akawa na hela mm ni kijana sijafika hata 29 hizo hela napata wapi kama ww umepewa au za famalia au umejipata unazo kausha mi nafanya research kuna umuhimu wa kumiliki gari ndogo kama ulaji sawa na hizo zako ww mwenye hela ndo point mi nilitegema...
Gari nyingi kama 1st, vitz ,ractis na gari zingine ndogo
Kiupande wangu gari ndogo nimeendesha na kumiliki kama tatu ractis vits na ist kwa kipindi tofauti ila utofauti na watu wanavosema hazinywi mafuta au kama google wanavosema au madalali wanavouza gari wanavozisifia zinatembea mpaka km...
Nafkiri pia Kuna gari zinakuja nyingi na km hizi hizi wengi zinardishwa km ila pia zipo zinazokuja na km nyingi still ulaji wa mafuta ni WA chini au kwasababu ya hii AWD kuzungusha matairi yote manne
NCP65
1490cc
Model 2005
AWD
Full tank inatembea maximum 370km to 350km
Huwa nawasha A.C sio mda wote mara moja moja na nishafanya majaribio zaidi ya maratatu swali langu linakuja ni normal ulaji huo au Kuna tatizo dashboard inajionuesha Kila kitu gari Haina tatizo lolote lingine services nafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.