Recent content by Lilambalyakwilole

  1. Lilambalyakwilole

    Serikali isitishe mishahara kwa watumishi waliorudi masomoni ni upotevu wa pesa tena wengine wanahama fani kabisa

    Haya ni mawazo ya kishetani sio kikomunist, wakonmunist wanasomesha sana wataalam wao tena abroad, ila kwa maslahi ya taifa
  2. Lilambalyakwilole

    Serikali isitishe mishahara kwa watumishi waliorudi masomoni ni upotevu wa pesa tena wengine wanahama fani kabisa

    Acha roho mbaya, tena kama hujui SERIKALI inatakiwa kumsomesha, yaani kulipia ada na accomodations
  3. Lilambalyakwilole

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Umenikumbusha Kwa brother y, kitambo sana, hadi sasa kiwanja kipo?
  4. Lilambalyakwilole

    Je, Tundu Lissu anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania?

    Hana sifa, anafaa kuwa mwanaharakati, angalau awe mbunge kwaajili ya kuichachafya serikali. Hata uwaziri tu hana sifa.
  5. Lilambalyakwilole

    Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

    Nakuhakikishia mbinu wanayotaka kutumia chadema itawaghalimu, wanalamba matapishi Yao, wangebaki kwenye hoja kuu na msimamo wao wanaouamini. Sio hii ya kuwa kigeugeu, nasikitika kuwa bado hatuna upinzani imara, Hawa wanaangalia upepo unakoelekea, hawatafaulu kamwe, wanajichimbia shimo
  6. Lilambalyakwilole

    Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

    Lisu hana credibility ya kutumia jina la magufuli, Tena nashauri wanachato, akija huyu jamaa pigeni mawe mnafiki mkubwa huyu. Anatumia jina la magufuli kuungwa mkono, wakati alimkashifu na kumtukana hadharani. Ni kweli serikali ya sasa inafanya madudu lakini amwache magufuli apumzike, aache...
  7. Lilambalyakwilole

    Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

    Aache unafiki huyu jamaa, asitumie jina la magufu kupata uugwaji mkono, amwache magufuli apumzike, alimpinga na kumtukana hadharani Leo analeta unafiki. Hapo amechemka. Kweli upinzani hatuna, ndio maana magufuli hakutaka mbwatuke, kwasasabu hamna hoja.
  8. Lilambalyakwilole

    Zembwela: Elimu ya Sheria si makalio eti kila mtu awe nayo

    Huyu naye sijui amekula maharage ya wapi, acheni uchawa, sasa ulienda kule kufanya nini kama unajijua kuwa wewe ni empty, hili nalo likaangaliwe
  9. Lilambalyakwilole

    Baada ya kukua nimejifunza yafuatayo kuhusu siasa za Tanzania

    Kwahiyo hao uliowataja watachaguliwa na wanafunzi?
  10. Lilambalyakwilole

    Baada ya kukua nimejifunza yafuatayo kuhusu siasa za Tanzania

    Unatumia mihemuko kufikiri sio logic, watachaguliwa na wananchi kupitia platform gani? Je wewe umewahi kutokuwa mpenzi au shabiki wa chama hata kwa dakika moja?
Back
Top Bottom