Mtaala mpya unamtaka mtoto achague mwenyeww wap anataka kuelekea kutokana na ndoto zake huko mbeleni, hivyo basi amepewa nafasi ya kuchagua asome masomo ya sayansi au sanaa(masomo yasipungue 8 na yasizid 10), angalia nia ya mtoto au hata wewe unataka awe nani huko mbeleni halafu mchagulie cha...
KWanza pole, pili hongera kwa kuwa na mtaji, tatu shukuru Mungu hapo ulipo, tuliza kichwa, make a reseach angalia unachoweza kufanya( biashara) kwa kuanza weka hata m 25, then angalia trends ya biashara ,ukiisimamia vizur utapata muelekeo wa kuiboresha, ukishakaa stable angalia kati ya sehemu...
Je mwalimu mkuu anafahamu mamlaka yake ya uteuzi na utenguzi? Y
Hata mimi ningemtoa kwasababu hajitambui, inakuaje hajui mamlaka yake ya uteuzi? Hao ndo wenye mamlaka ya kumuondoa
Sheria ya kazi na mahusiano kazini, inakutaka uwe na chama, kama hujajaza form maana yake si mwanachama ila sheria inakutaka ukatwe pesa ya kuchangia ktk chama cha wafanyakzi, muhimu kwako kachukue fomu ili uwe mwanachama halali uwwze kupata haki zako kama mwanachama, kwani kutojaza fomu...
Nikwel kuna shule zina walimu wawil, ila kama serikali itaajiri kwa 100% basi tuwe tayar kutofanya maendeleo ya aina yoyte ile kwan UCHUMI wetu hauruhusu kuajir watumishi kwa kiwango hicho
Haimaanishi hivyo Muombe Mungu akupe akili ya kulitafakar na kulijua neno laMungu
( Moyo wa ufukara, moyo usio na tamaa, moyo wa kuwapenda wengine, moyo usio na ubinafsi, moyo wa kujitolea kwa ajili ya wengne)
Zoezi linaloendelea ni kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa/kijiji, zoezi hili linahusisha wakazi wa eneo husika tu, lengo ni kwa ajili ya UCHAGUZI WA VIONGOZI ( mwenyekiti wa mtaa au kijiji pamoja na vitingoji hapo tar 27.11.2024)
Zoezi hili ni tofauti na lile la uandikishwaji kwa ajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.