Hata mi imenishangaza hii mkuu summary dismissal
Ingawa ni kweli kwamba mwajiri anayo mamlaka ya kumwachisha mtumishi kaz at any time lakn lakn lakn lazma kuwe na sababu za kweli na kisheria
Sasa mimi nimeambiwa tu kuwa nimekiuka maadili lakn kila nikiomba kuambiwa maadili gan nimekiuka...
Mkuu sjaelezwa missconduct gan
Na wala hakuna kaz ambyo skuwahi kuitekeleza labda ktk kipindi nilichovunjika mkono wa kulia
Mkuu mimi syo mi syo mlevi though bia nakunywa lakn ni mara chache tena kwa mda wangu binafsi na sehemu maalum
Kuhusu mapenz bahat mby ht mpz wang hayupo mkoa naofanyia...
Hata mimi nahisi hivyo mkuu na hata wafanyakaz wengne wanashangaa na wanamhsi msimamizi ndo kafanya hvyo maana wanasema ndo zake hasa ukizingatia nilikuwa kwenye kitengo cha karibu na yy kama msaidizi wa karibu katika masuala ya management
Pamoja na hayo je nichukue hatua gan mkuu
Mkuu hakuna ubishoo hapa
Nilivunjika mkono baada ya kupata ajali ya bodaboda wakati narud nyumbani kutoka kazini ambapo dreva aliongia mtaron nikarushwa
Nikaletwa dsm kwa ajili ya matibabu baada ya kupewa rufaa
Baada ya kufanyiwa opereshen nikapewa E.D ya wiki nne na ukizingatia mkono...
Mkuu kiukweli nimeambiwa tu ni MISSCONDUCT though sjui ni missconduct gan
Na wala barua haijaeleza kama sijaridhika nifanye nn
Ni kwamba nimeambiwa tu nalipwa mshahara wa mwezi mmoja badala ya notice
Kuhusu suala la chama cha wafanyakazi to be honest.. Nilikuwa sijajiunga bado
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.