Dah pole kubwa sana mkuu. Kama ni Muislam wapo masheikh wenye uwezo mkubwa wa kudhibiti hayo masuala kwa dua nzito tu. Na kwa hayo masuala usithubutu kwenda kwa Waganga wa Kienyeji. Hivyo vitu na masuala ya kienyeji ni mbalimbali kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.