Nya nyie wanawake mtakalia kutumika na kulala mika kuwa siolewi/ mala nimelogwa, Mala Nina mikosi na heshima yako katika jamii haito kuwepo heshima ya Mwanamke ni kuolewa na kuishi katika misingi ya Ndoa.
NOTE : KWANZA UYO MWANAUME HAWEZI KULIONA HILI TANGAZO.
Hakika utafanikiwa sasa itabidi uingie Mawindoni kama ( Chukoo, ) YALAMA na mawindo yako yawe out of Town.
Kaka naku hakikishia ukimpa Dreva mwenye Familia huyo anamajukumu hauwezi Kufanya kosa kwenye kukusumbua kwa maana unajua hapo ndio kuna ugali wake, Ila kwa maana halisi kwenye msafara wa mamba na kenge wapo.
Habari za Majukumu wakubwa kwa wadogo. Nakuja kuomba kwa dhati kabisa kwa mtu menye Bajaji / Pikipiki na unaitaji Dreva makini, Mwerevu na muaminifu Mimi Nina sifa na vigezo, Nina uzoefu wa miaka miwili barabarani, nina Leseni ya udreva iliyo ndani ya muda.
Nafanya kazi kwa uaminifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.