human activities sasa kwenye maeneo ya chanzo cha maji zimeongezeka (tofauti na miaka ya nyuma) ndo nacho kwambia hapo awali kulikuwa hamna izo shughuli kwa kiasi kama sasa, na mvua zikinyesha zinabeba hilo tope naongea hivi kwasababu nimefuatilia haya maswala kumeunda hadi kikundi cha...
Ujinga gan huo unaosema? Tatizo la maji kutoka tope inasababishwa na shughuli za kilimo, uchimbaji madini kule kwenye chanzo cha maji ndo mto unajaa tope na huo sio mkoa wa kwanza sehemu nyingine tatizo sio kubwa kwasababu vyanzo ni visima kwahiyo hamna uchafuzi kama mito .Na kwataarifa tu Tanga...
Ni kweli kabisa Tanga ni jiji lenye majisafi salama na reliable supply to the city residents .Mamlaka ya maji Tanga -Tanga Uwasa ilichukua tuzo ya mamlaka bora ya maji nchini mwaka jana .Hongereni sana Tanga Uwasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.