Recent content by lidoda

  1. lidoda

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Utambulisho wa majina mitandaoni utaua habari za kiuchunguzi

    Kwani watu wanalazimishwa kuja kusoma ktk mtandao wa Jamii Forums kama wanakereka? Kwa nini wasianzishe mtandao wao na wawalazimishe kila mtumiaji wa huo mtandao atumie jina halisi.
  2. lidoda

    JamiiForums Tanzania Dr. Makongoro: Serikali isijifiche nyuma ya IPSAS Accrual. Elezeni vizuri tzs 1.5t zilipo

    Hizi Trilioni 1.5 lazima zitatemwa au tutaambiwa wapi zilipo. Maana kila kona kuna mashabulizi. Sasa watetezi wa upotevu wa hizo hela wataanza personal attack badala ya kuhoji nini kilicoandikwa
  3. lidoda

    JamiiForums Tanzania Serikali kuanza kuwafuata watu maeneo ya mkusanyiko ili kuwapima magonjwa ya UKIMWI na Kifua Kikuu(TB)

    Baa zinafunguliwa jioni na wanywaji wa maofisini wanaanza kunywa kuanzia saa 1 usiku. Kwa hiyo hao wapimaji watafanya kazi overtime mpaka usiku? Wale wasiokunywa pombe kama Walokole, Waislamu na wengine ambao hawatakunywa hawatapata fursa ya kupimwa? Au hili zoezi linawahusu wanywaji tu...
  4. lidoda

    JamiiForums Tanzania Barua ya Evarist Chahali kwa viongozi na wafuasi wa upinzani (Hususani CHADEMA)

    Hapa mbona nashindwa kukubaliana na wewe.Sababu mpkaka sasa havi hakuna mahakama yoyote iliomfungulia mashtaka Lowasa kwa "ufisadi". Hii mahakama ya ufisadi mpaka sasa hive waliowekwa au kushtakiwa ni wa upande mwingine tu. Sasa utaniaminishaje kuwa kumpokea Lowassa lilikuwa kosa kubwa...
  5. lidoda

    JamiiForums Tanzania Kijana Allen Achiles aliyefariki baada ya kupigwa na Polisi azikwa na mamia Mbeya

    lakini ni kweli kibaki kama tulivyoambiwa?? Mbona vibaka hawazikwi kwa nyomi hii?
  6. lidoda

    JamiiForums Tanzania Kujiuzulu ubunge kwa Mtulia na uthibitisho kuwa hayawezi majukumu ya ubunge hivyo hafai atatusaliti tena

    Mbunge anachaguliwa na wananchi na sio Raisi. Sasa hawa wabunge wanao jiudhuru eti kwa ajili ya kumwuunga mkono Raisi hawajui kuwa wanavunja makubaliano na wananchi ya kuwatetea Bungeni? Sasa kwa nini wabunge hao hao waende kuomba kura kwa wananchi badala ya wao kuteuliwa kuwa wakuu wa mikoa au...
  7. lidoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini hawa viongozi wanaojiuzulu wasisubiri mpaka kipindi cha uchaguzi ujao?

    Mbunge anachaguliwa na wananchi na sio Raisi. Sasa hawa wabunge wanao jiudhuru eti kwa ajili ya kumwuunga mkono Raisi hawajui kuwa wanavunja makubaliano na wananchi ya kuwatetea Bungeni? Sasa kwa nini wabunge hao hao waende kuomba kura kwa wananchi badala ya wao kuteuliwa kuwa wakuu wa mikoa au...
  8. lidoda

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi lamjibu Waziri Kigwangalla, lasema halifanyi kazi kwa mashinikizo

    Kwa nini huyo Waziri asishikwe kwa uchochezi? Kwa nini asiwekwe ndani kuisaidia polisi? Mbona wasio mawaziri wa upande wa CCM wakisema hivyo wanawekwa ndani? Hii sio double standard? All in all Kigwangala lazima aufyate. Polisi lazima watam nockout Kigwangwala
  9. lidoda

    JamiiForums Tanzania Siri ya ya Makinikia na Bombardier

    Nimesha agiza Noah lakini wanadai advance. Wenzangu mmeshapata Noah zenu?
  10. lidoda

    JamiiForums Tanzania Historia ya Palestina

    Isitoshe katika Quran tukufu hakuna hata sehemu moja ilioitaj Jerusaleim au Palestina
  11. lidoda

    JamiiForums Tanzania Historia ya Palestina

    Mkuu mbona historia yako ina matundu mengi kuliko Swiss cheese
  12. lidoda

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha uzalishaji wa dhahabu kupitia barrick kimepungua!

    Lakini zile dola milioni mia 300 tulizoambiwa tutalipwa zimeshalipwa ? Usisahau kuwa Noah zetu hatujazipata bado
  13. lidoda

    JamiiForums Tanzania Muungano na mazonge yake: Sukari ya Zanzibar hairuhusiwi kuuzwa Tanzania Bara

    Asante kwa kunielewesha
  14. lidoda

    JamiiForums Tanzania Muungano na mazonge yake: Sukari ya Zanzibar hairuhusiwi kuuzwa Tanzania Bara

    Asante kwa kunielewesha
  15. lidoda

    JamiiForums Tanzania Muungano na mazonge yake: Sukari ya Zanzibar hairuhusiwi kuuzwa Tanzania Bara

    Nimekuelewa Isaa. Lakini ninyi wa Wazenj mlipata fursa nzuri sana ya kuukataa huu Muungano feki ktk Rasimu ya Katiba. Pale Bungeni kura zenu za kuukataa Muungano huenda mngepata Uhuru wenu. Sasa ninyi mnaumia na sisi tunaumia. Poleni sana
Back
Top Bottom