Nazungumzia vitz new kuanzia toleo la 2007 zenye engine ya cc 1290 , 2sz, 1nz,2nz kuendelea hii gari haizungumziwi sana kama IST
Ila ni moja kati ya gari comfortable kwa mtu mwenye kipato cha chini na engine ya 1290 mafuta inanyonya kiasi na zinadumu sema ni kagari ambako hakazungumziwi tu
MZee wangu Instagram kuna mfumo wameuanzisha ukifungiwa account ya kwanza inabidi utulie 6 months kwanza na wakidetect umefungua acc mpya wanaifunga chap sheria zao hawaruhusu kufungua acc mpya chap chap kama ya kwanza ilifungwa wanaamini umefungua mpya uendeleze kile walichokufungia
Watu now...
Kwa habari zilizopo sasa Iran imeanza kuzitandika makombora meli za mafuta zilizokatika katika mlango wa homuz aliufunga huo mlango tokea jana ila leo kuna meli imekatiza imepigwa kombora mda huu inazama
Wenye magari kujiandaa mujim wese linaweza fika 4000 tusichukulie masihara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.