Jana nilileta uzi hapa kuhusu huyu bwana aachane na ligi baada ya siku nne nyuma gari lake moja kupata ajali mbaya Morogoro, juzi tu nikashauri arudi njia kuu madereva watamfilisi ila nikaonekana mchonganishi
Muda huu leo gari lingine limedondoka Mikese sasa hivi
--------------------
Taarifa...
Africa sidhani kama tuna ugumu wa maisha ila ni akili zetu tu mbovu
Mafuta yamegunduliwa Uganda kisha yanasafirishwa na bomba hadi Tanga alafu yanapelekwa Kwa wazungu kusafishwa then wao wanayarudisha kutuuzia hili jambo mbona limekaa kishenzi sana
Kwanini kusingejengwa kiwanda cha kuyasafisha...
Boss wangu mimi kama abiria wako na nnaependa maendeleo yako kuwa makini saana ni kweli hatujui namna pesa ulipozipata ukafanya uwekezaji mkubwa maana scania 1 marcopolo inacheza bilioni 1 kasoro sio mchezo
Ila mimi kama abiria na Mtanzania mwenzako si vibaya kuonyesha kuguswa na namna vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.