Recent content by LICHADI

  1. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Kifo cha JWTZ Marine Komandoo Kibona kimetuumiza wengi sana hasa kutokana alivyokuwa Mstaarabu, Mchapakazi na Mnyenyekevu popote awapo

    Nikikumbuka walivyokuwa wakitukanwa na mapolisi pale moroco oct 30 ,.nachokaa hamna cmndo humu ni wahuni tu hawa
  2. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kutojitoa sana kwa watu ni siri ya mafanikio?

    Kuna kipindi pesa ilikuwa inapotea sana, kuna mzee akaja akaniambia punguza huruma bwanamdogo huko kwenu ukoo una watu wangapi ww ikitokea kila kitu upo front kutoa hela Kila ndugu akipiga simu tu wewe ni hela mbele akaniambia watakufilisi hao , ukoo una watu wengi iweje wewe tu uwe kimbele mbele
  3. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Polisi wazingira Msikiti wa Kichangani, Sheikh Walid hajatokea

    Hii habari nimeiona mwananchi chap wakafuta
  4. LICHADI

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Kiluvya madukani (Makurunge) hatulali kutokana na kelele kubwa ya bar ya REDOMAX

    Nimepakumbuka sana kiluvya secondary aisee nlisoma hapo miaka ya 2006
  5. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Basi lingine la Katarama lapata ajali muda huu Mikese

    Jana nilileta uzi hapa kuhusu huyu bwana aachane na ligi baada ya siku nne nyuma gari lake moja kupata ajali mbaya Morogoro, juzi tu nikashauri arudi njia kuu madereva watamfilisi ila nikaonekana mchonganishi Muda huu leo gari lingine limedondoka Mikese sasa hivi -------------------- Taarifa...
  6. LICHADI

    JamiiForums Tanzania AI ni mfumo wa kawaida sana na hauna jipya kwa mwenye upeo mkubwa, ila kwa mwenye upeo mdogo wa kufikiri ni mfumo mgeni?

    Alietoa huu uzi usikute hata website tu hawezi kutengeneza mazafanta
  7. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje Mafuta yatoke Uganda yakasafishwe Ufaransa na Sio Tanzania kisha yaende nje?

    Africa sidhani kama tuna ugumu wa maisha ila ni akili zetu tu mbovu Mafuta yamegunduliwa Uganda kisha yanasafirishwa na bomba hadi Tanga alafu yanapelekwa Kwa wazungu kusafishwa then wao wanayarudisha kutuuzia hili jambo mbona limekaa kishenzi sana Kwanini kusingejengwa kiwanda cha kuyasafisha...
  8. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa mabasi ya katarama kuwa makini sana

    Zipo kampuni zilishawahi filisika kwa maaajali
  9. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa mabasi ya katarama kuwa makini sana

    Boss wangu mimi kama abiria wako na nnaependa maendeleo yako kuwa makini saana ni kweli hatujui namna pesa ulipozipata ukafanya uwekezaji mkubwa maana scania 1 marcopolo inacheza bilioni 1 kasoro sio mchezo Ila mimi kama abiria na Mtanzania mwenzako si vibaya kuonyesha kuguswa na namna vijana...
  10. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Ulitumia dawa gani kupona fangasi za kwenye korodani?

    Kuna cream inaitwa WHITEFIELD YA KENYA ILE SIKU 5 TU Sent from my TECNO CL6k using JamiiForums mobile app
  11. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Elibariki Kingu: Tunashindwa nini kujenga Maghala ya Mafuta ili tuwe na akiba kubwa tuuze hata nje ya nchi?

    Huyo mbuzi hanaga akili tiamu na ukitaka kumjua ni chizi kuna siku alicoment kuwa mafuta yetu hayapitii homuz ila bei umepanda hilo ni tahira chawa tu
  12. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Trump amesema US inaweza ikaiharibu Iran ndani ya siku moja

    Kunapoelekea hawa watakuja kupigana kwa silaha nzito maana us hanaga uvumilivu
Back
Top Bottom