Recent content by LICHADI

  1. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Nina mwanamke mwenye maneno makali sana nishaurini naona amevuka mipaka

    Notes kaka
  2. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Nina mwanamke mwenye maneno makali sana nishaurini naona amevuka mipaka

    Ndugu zanguni mnaosema kataa ndoa kama naanza kuwaelewa , nnna mwanamke ambae anashida akiwa na hasira ana mdomo mchafu sana ni mwnamke nnaemtunza kumlea na nilimvunja bikra mwenyewe ila hana staha maneno anayotoaga ni mkali kwa vitu vidogo Juzi nilichelewa kurudi tu kaanza kununa nikamwambia...
  3. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masingle mother na watoto wao
  4. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Watoto wa masingle mother wanaochukia baba zao wamevamia hapa hatari
  5. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Na ndio wamevamia humu ukiona binti kaolewa hakuna baba alieonzesha kimbia products za single mother hizo
  6. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Watoto wa masingle mother wamevamia huu uzi
  7. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Nabii tito iile ni project ushahidi ni huu

    Huyu jamaa huwa anaibuka vipindi nnchi ina mambo ya muhim then anapotea japo watu wengi wanadhani ni chizi yule sio chizi Jiulize pesa ya kuishi na kula vizuri hadi kujipodoa anapata wapi, anaishi sehem nzuri umeme kiila kitu kipo ushajiuliza pesa anatoa wai ya bills Anaandaa drama anawapata...
  8. LICHADI

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Wilaya Kusini – Unguja hasa Paje hatuna sehemu za kutupa takataka

    Sasa huku jf bara tukusaidie nn
  9. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Kifo cha JWTZ Marine Komandoo Kibona kimetuumiza wengi sana hasa kutokana alivyokuwa Mstaarabu, Mchapakazi na Mnyenyekevu popote awapo

    Nikikumbuka walivyokuwa wakitukanwa na mapolisi pale moroco oct 30 ,.nachokaa hamna cmndo humu ni wahuni tu hawa
Back
Top Bottom