Recent content by LICHADI

  1. LICHADI

    Mnaoisifia IST msisahau Vitz New Model

    Nazungumzia vitz new kuanzia toleo la 2007 zenye engine ya cc 1290 , 2sz, 1nz,2nz kuendelea hii gari haizungumziwi sana kama IST Ila ni moja kati ya gari comfortable kwa mtu mwenye kipato cha chini na engine ya 1290 mafuta inanyonya kiasi na zinadumu sema ni kagari ambako hakazungumziwi tu
  2. LICHADI

    Hivi Instagram una matatizo gani? Hii account ya 10 inafungwa tu

    MZee wangu Instagram kuna mfumo wameuanzisha ukifungiwa account ya kwanza inabidi utulie 6 months kwanza na wakidetect umefungua acc mpya wanaifunga chap sheria zao hawaruhusu kufungua acc mpya chap chap kama ya kwanza ilifungwa wanaamini umefungua mpya uendeleze kile walichokufungia Watu now...
  3. LICHADI

    Tetesi: Inadaiwa Ayatollah mpya ameuawa katika shambulio la anga!

    Maninaa kama kweli myahudi ni nuksi
  4. LICHADI

    Nashukuru sana Wakristo na Wayahudi kuwa watu wanaoingoza Dunia

    Mwarabu kashajenga nini cha maana maana ingekuwa mwarabu.mtu mwema why dada zenu wanauliwa huko
  5. LICHADI

    Bei ya mafuta soon itakuwa haikamatiki, wenye magari mjiandae

    Kwa habari zilizopo sasa Iran imeanza kuzitandika makombora meli za mafuta zilizokatika katika mlango wa homuz aliufunga huo mlango tokea jana ila leo kuna meli imekatiza imepigwa kombora mda huu inazama Wenye magari kujiandaa mujim wese linaweza fika 4000 tusichukulie masihara
Back
Top Bottom