Recent content by LICHADI

  1. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Kariakoo inatufundisha somo moja: Bila Mchina bidhaa nyingi za kisasa zingekuwa za wachache

    Hilo sipingani na wewe ni kweli bila mchina pale maduka yangekuwa ya mtumba tu wachache sana wangeuza vitu vya mturuki tu hata zamani kariakoo vitu vilikuwa vya mtumba tu mcjina ndio kaja k
  2. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Bashungwa kakaa kisanii sana

    Huyu jamaa inaonekana maisha yake nnje ya bunge na uwaziri ni magumu sana, ukiingia kwenye page zake za Mitandao kakaa kisani sanii , Huwa anawatu wake wa kumrekodi akiwa anact usanii, na anaendaga na upepo Kabla ya kupewa wizara ya mambo ya ndani alikuwaga mtu flan mpole sana kila alivyopewa...
  3. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Nina mwanamke mwenye maneno makali sana. Nishaurini, naona amevuka mipaka

    Ndugu zanguni mnaosema kataa ndoa kama naanza kuwaelewa , nina mwanamke ambae anashida akiwa na hasira ana mdomo mchafu sana ni mwnamke nnaemtunza kumlea na nilimvunja bikra mwenyewe ila hana staha maneno anayotoaga ni mkali kwa vitu vidogo Juzi nilichelewa kurudi tu kaanza kununa nikamwambia...
  4. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masingle mother na watoto wao
  5. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Watoto wa masingle mother wanaochukia baba zao wamevamia hapa hatari
  6. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Na ndio wamevamia humu ukiona binti kaolewa hakuna baba alieonzesha kimbia products za single mother hizo
  7. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Watoto wa masingle mother wamevamia huu uzi
  8. LICHADI

    JamiiForums Tanzania Nabii tito iile ni project ushahidi ni huu

    Huyu jamaa huwa anaibuka vipindi nnchi ina mambo ya muhim then anapotea japo watu wengi wanadhani ni chizi yule sio chizi Jiulize pesa ya kuishi na kula vizuri hadi kujipodoa anapata wapi, anaishi sehem nzuri umeme kiila kitu kipo ushajiuliza pesa anatoa wai ya bills Anaandaa drama anawapata...
Back
Top Bottom