Kwa kuwa tayali mtuhumiwa yupo katika mikono ya dola basi tuichie mahakama ituamuli hili tukio la ukatili wa kijinsia.Ila ikumbukwe kuwa kanajsi watoto 30 . ukichukua 30x30 unapata idadi ya miaka anayo paswa kuishi gerezani.
Kulala na kukoloma si kwa sababu ya kuwa na jeshi imara Bali ni matokeo ya siasa safi. Angalia nchi kama Israel na Palestine wanamajeshi imara lakin bado hawalali kwa aman.
In shot hakuna mtu anaeweza kufanya kaz bila malipo hata kwa mwez mmoja, yaani atoke kwake/kwao aende shule, arudi kweke kula nn, pesa ya sabun anitoa wp? Probably waseme wale walio kuwa wanalipwa kidogo.THIS IS THE GAPE OF CORRUPTION OVER.
Hili ndilo tatizo la kuwazia kupitia mlango wa fahamu wa nyuma.
Yaan ww unaona kawaida tu watu 19 ambao hawana sifa ya ubunge kulipwa tsh 11 per month. Kwa nn hizo pesa zisisaidie wahitaji ? Bora zinunue madawa wagonjwa wapate kupona.
Binafsi nimeumia sana kuona jinsi watu wasio staili kuteswa na kuburuzwa mahakama, wakiishi maisha ya kimateka , ilihali mtesi wao alihimiza tumtangulize Mungu mbele.
Note: MUNGU HADHIHAKIWI. rest with unpeace where you disserve.
Acha kudangaya watu mm mwenyewe nilikuwepo hapo katoro, sio kwamba lissu alizomewa, ila vijana wasio pungua kumi walio andaliwa na mgombea udiwan(CCM) kata ya Buselesele ,walita kuharibu mkutano wa lissu, na badala yake waliiabulia vichapo, vilivyopelekea jeshi LA polisi kuingilia kati.mpka Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.