Tatizo kubwa sana la wapinzani wa Tanzania kamwe hawakubali kushauriwa. Daima wanaowashauri wanaishia kutukanwa kukejeliwa na kupuuzwa. Hata kwa jambo lililowazi wao wanaziba masikio na kutarajia miujiza ya mungu. Wakati CCM wanakubali ushauri na kila siku wako dynamic kwenda na wakati...
Thread nyingi zinazokosoa CHADEMA humu ndani huwa zinafuatia na wachangiaji wenye hasira wakali wanatukana mpaka basi. CHADEMA jamani hatupendi kukosolewa kwa nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.