Wana Jamii,
Nina tatizo la kucheua mara kwa mara. Na haswa pale ninapotoka kula naweza kupata tatizo hilo hata kwa masaa matatu. Nilichogundua hadi sasa ni kuwa chakula ninachokula hakisagiki mapema hivyo kupelwkwa kucheua harufu kali ya chakula kama vile nimekula mda huo huo.
Nimeshindwa...
Shida wanyama tunaouziwa mjini si wote wana afya njema. Hivyo ulaji wa maini nao unaweza usiwe salama haswa utakapoishia kula mnyama aliyekuwa akiumwa na kupewa madawa makali kumtibu. Tukumbuke wanyama pia hutibiwa na dawa ambazo ni kali na zenye madhara zinapoingia kwenye miili ya binadamu
Mamboz. Umekuwa kwenye mawazo kama yangu leo. Nilipost fb status kama hii. Nlikuwa najiskia nahitaji jinsia tofauti na mimi nibadilishane nae mawazo tu. Kama upo serious siku zote ni vyema kuchat na usiyemjia kwa mawazo aina mbalimbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.