Recent content by lewis mtunze

  1. L

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wale wa bando nafuu mnione 0719502008
  2. L

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Zaidi ya poa.......hivi napata ya galaxy note 9?
  3. L

    Wanaokooesha simu hakuna namna ya kuwazibua?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  4. L

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    Iyo webu inapatikana vip ebu tujuze mkuu
  5. L

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    Hizi simbo mbona mimi sipati au kwa kutumia computer?
  6. L

    Tambua uelekeo wa dishi katika satellite za chaneli (picha za madishi)

    Jaman hayo madish yanapatikana wap? Na kwa bei gan? Maana mambo ni matam mpaka raha.
  7. L

    Kununua simu duka la jumla

    Kwaiyo nikinunua galaxy a51 au 71 kuna huwezekano wa kupata refurb maana muda mrefu kidogo toka zitoke sio?
  8. L

    Kununua simu duka la jumla

    Iyo ni kweli kabisa, ila hua naangalia toleo la kitu mpaka muda kinapofika bongo naamini naweza pata kipya kwa muda ambao no mfup toka kilipozinduliwa ulimwenguni
  9. L

    Kununua simu duka la jumla

    Oky apo nimekuelewa
  10. L

    Kununua simu duka la jumla

    Sory inamaana nikienda kariakoo kununua simu kwamfano galaxy a71 au 51 kwa sasa inakua refurbeshed sio mpya? Au siwezi pata mpya?
  11. L

    Kununua simu duka la jumla

    Nimefanya uchunguzi gap ni kubwa mno kati ya 50 nzima ndo mana nauliza kama kuna hasara
Back
Top Bottom