Recent content by Lewis Mtashobya

  1. L

    Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

    Bwana akujibu katika wakati huu Dr. Ulimboka, jina la Mungu wa Yakobo likuinue. Mungu akupelekee msaada toka patakatifu pake na akutegemeze toka sayuni. Amina. Rejea Zab 20:1-2
  2. L

    A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

    Tumshukuru Mungu kwa taarifa hiyo ya maendeleo ya afya ya daktari na tuendelee kumwomba amponye. Mungu turehemu watanzania tunakoenda siko!
Back
Top Bottom