Kwa nini viongozi wengi wa siasa lazima wawe ndio namba moja katika kula rushwa uku katiba ikiwakingia vifua tofauti kosa hilo likifanywa na mtu mwingine?
Kihistoria Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili uliofanyika mwaka 1964 ukijumuisha (Tanganyika chini ya mwalimu Julius Nyerere na Zanzibar chini ya Amir Abeid Karume ),kwa umoja wao waliweza kuunda serikali ya Jamhuri wa Muunguuno ambayo ndio nchi tuliyoko sasa isiyo na mipaka wala itikadi za...
In my view our country is just democratically in the way that it allow multiparty systems as well as its conducting different election but the leader mostly are engaged in this for their personal benefits because they want to have power so that they can doing their business even without...
Nipende kushauri nchi yangu juu ya suala zima linalohusu rasilimali, maliasili na utalii kama kipaumbele bora na kiini cha kuleta mabadiliko katika sehemu na sekta mbalimbali zilizomo, nchini mwetu
Kwanza kabisa sekta hii inakuza masuala yote yanayouhusiana na usafirishaji katika anga, nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.