Poleni na majukumu wana JF.
jaman naomba msaada mwenye kujua tofauti na matumizi na vingine vyovyote vinavyohusu accounts tajwa hapo juu katika crdb bank anifafanulie .nawasilisha kwenu wana jamiiforum.
Hata wale tulio chaguliwa na serikali TAMISEMI toka form four direct hakuna tuliopata mikopo mkuu .hii nchi inavyotufanyi kwa kweli sio poa kabisa .
Wengine kipindi tunamaliza o level tuliweka advance kama first choice lkn wakaja na BRN yao wakanipanga chuo bhasi ikawa hakuna namna nikasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.