Wadau mko poa? sasa kuna blog moja inaitwa MIDDLE SIMBA kule U-tube, katika utoaji wake wa habari au uchambuzi mbali mbali huwa kuna wimbo mtamu wa english unapigwa kwa mbali kama background song. sasa naupenda but nimejaribu kutafuta namna ya kuujua unaitwaje na ni wa msanii gani nimefail. Kama...
habari wana JF!
nina mtaji wa kiasi fulani cha fedha nataka nijikite katika masuala ya mineral brokering maana ni biashara nayoipenda sana. napenda kufahamu some ABC's kuhusu hii biashara. yaani kulangua madini na kuyauza kwa faida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.