Sijapata information yake. Hebu tupe fuul information kwa faida ya watu wote ili zikijitokeza tena watu wawe macho mkuu
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Fursa yeyote ya maana uwezi ukaisikia mtandaoni.
Hata mikopo ya serikalini aitangazwi ovyo ovyo na hipo
Waswahili wanasema ukiona unaitwa kwenye fursa ujuwe wewe ndio fursa yenyewe.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Yaani mku wako wengi hao. Sana sana wanapiga sana maeneo ya mwanza na arusha ndio wanawanasa sana watu.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ni hao hao watu wa Kalynda wamekuja kwa jina lingine na cha ajabu hao hao walioliwa Kalynda ndio wanaoliwa tena M-Tangoling
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Habali za muda huu wapendwa.
Leo nawaletea uzi huu wa utapeli kwa njia ya Mtandao.
Tunapo ongelea maswala mazima ya biashara za mitandaoni moja kwa moja kuna faida zake na asala zake. Biashara nyingi zinazopatikanika mitandaoni zinakuwa na risk kubwa sana kwa sababu zinafanyika kwa njia ya...
Nimesoma vizuri uzi huu changamoto kwamba auna elimu ya koroho ila umesoma sana theory. Watu wengi wanaopinga uwepo wa Mungu mmoja aliyeumba mbingu na nchi(Simaanishi wewe ila ni baadha ya watu) cha hajabu hao watu wengi ni madevil worshiped waabuduMashetani. Wanakataa uwepo wa Mungu lakini...
MGENI NI MFALME
Kwanza Kabisa Tuelewe mfumo wetu wa sisi watanzania ulikuwa ni Ujamaa. Ambao katika huu mfumo umejaa ukalimu wa hali ya juu Tofauti na mfumo wa Kibepali ambao wenyewe umejaa ubinafsi, uchoyo n.k
Mgeni kwetu ni mfalme. Zamani ukienda kutembea kwa mtu yaani hata kama awana ela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.