bila shaka umu ndani kuna wtu hawajielew na hawato jielewa kamwe.....Tz maisha ni magumu sna na km tukiendelea na upuuz wetu wa kulopoka na kuongea utumbo na fikra, mawazo na kutojielewa tutaendeleA kuwa masikini mpk yesu arudi...... Ni wakat wa madiliko ivyo tujipange na tuwe watu wa kufikilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.