Recent content by Leo2juu

  1. L

    Baba changanyaaaaa!!

    Haahahahahaah hii nayo kali kweli taulo sio shuka
  2. L

    Mabishano ya watoto watatu

    Watoto watatu walikuwa wanabishana kuhusu baba zao.Majibishano yalikuwa ka ifuatavyo Mtoto wa1: Baba yangu anakimbia sana hadi ukirushwa mshale anaanza kufika yeye kabla ya mshale Mtoto wa 2: We unasema ana mbio!! mbio gan hizo. Mimi baba yangu ikipigwa risasi anafika kabla ya risasi Mtoto wa...
  3. L

    Maiti Yaongea

    Maiti moja ilikuwa inaoshwa. Mara gafla ikacheka sanaaa. Mwoshaji akaiuliza Mbona unacheka sana unacheka nini? Maiti ikajibu unanitekenya bwana.
Back
Top Bottom