Ukweli ni kwamba biashara ya madawa ya kulevya imeshamiri, ufisadi umeshamiri, ujangili umeshamiri na upuuzi mwingi umeshamiri katika tanzania yetu. Ikiwa biashara hizi zina baraka kutoka kwa wakuu wa serikali, basi nchi imeoza. Ikiwa sio wakuu wa serikali lakini bado biashara hizi zinashamiri...
Only fools can be fooled. Kuna baadhi ya watanzania wenzetu (kwa maana wote tumezaliwa tanzania) mishipa yao ya fahamu inayoshugurikia aibu imekatika. wameamua kufa na kupona kuliangamiza Taifa. Siku wazalendo wakiamua kufa kupona kuliokoa Taifa, Vita vya wenyewe kwa wenyewe havitaepukika.
Msaada Wa kimawazo tafadhali, wajasiliamali tunaamini moja kati ya rasilimali za kumiliki ni HISA, Mimi sina uzoefu kabisa kabisa kuhusu HISA, ntapataje uzoefu?, Je kampuni gani zinalipa vizuri? Vitu gani vya kutilia mkazo? Hasara zake ni zipi? Nawasilisha wakuu..
Rafiki yangu mmoja kutoka Israeli anasema matikiti haya ya Tz. ni madogo sana.
Ikiwa mtu atazingatia ubora wa kiulimo cha water melon anaweza kuvuna matikiti makubwa mara mbili zaidi ya haya tunayoyaona. Kumbe inabidi yawe yananing'inia. Unaweka viatlu imara na kupauwa kwa miti ambayo itatoa...
Forbes walishaishiwa umakini! January hata kumi bora hapa Tanzania hayupo, Pengo, Slaa, Jk, Mbowe, Magufuli, Mwakyembe, Lowasa, Mwamuyange, Dk Shein, Mh. Sitta, Bakhresa na baba angu.
Ndevu chafu unaongopa! Hivi kuna mtu humu hajui hizo taarifa! Hawakuwa most powerful men jamani ushabiki utawaharibia personality zenu. Walokuwa ni influencial young African leaders. "Young"
Ukweli ni kwamba JM anajijengea "public attention". Kwamba macho na mioyo ya watanzania vianze kumkariri na kumzoea (popularity). Na moja ya mechanisms ni kujitangazia urais ili ajijengee popularity. Ukiwa mtu huru kifikra haya mambo si ya kukupotezea muda. Lakini kama akili yako imefinywa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.