Kabisa huyu dogo hata mimi kanikosha sana kwa umahiri wake ulingoni kapata mpinzani wa kweli na kapambana vizuri kikubwa apate sapoti nzuri hakika atateka hisia za wengi, bila hisia za makandokando kama ilivyo kwa wengine wenye high profile lakini kama hawaaminiki kutokana na aina ya wapinzani...
Acha udini kiongozi fikra mbaya sana hizo ulizonazo binadamu tuna tofauti nyingi sana kwanini hii ya dini ndiyo ikukwaze tu..Baki na Utanzania wako na heshimu imani ya kila mtu bila kuona imani yako ni bora kuliko zingine. Mungu akusimamie tuwe wanajamii bora. Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.