Recent content by Lenge McNhungo jr

  1. L

    JamiiForums Tanzania Tunauza mchanga mnene wa mtoni

    Welcome jr supplier ni wauzaji wa mchanga wa mtoni super kwa kujengea kwa bei ya jumla na rejareja tunapatikana mpiji river contact 0657710078 richbalele@gmail.com
  2. L

    JamiiForums Tanzania Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    Nimeona mkuu ila i gess ni kwa 1st yrs tu ila continuing stdnts ni 5.04k kama kawa
  3. L

    JamiiForums Tanzania Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    Hapana kila chuo kinajitegemea peke yake
  4. L

    JamiiForums Tanzania Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    Acha kuwadanganya vijana mwaka huu pesa ya bima unalipa directly wizara ya afya na ni tsh 54 elfu tu. Xo wadogo zangu nendeni kwenye site ya chuo muone maelekezo ya jinsi ya kupata bima yako ya afya
  5. L

    JamiiForums Tanzania Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    Yes kuna kipindi mwaka huu kama wiki 2 hv maji yalikuwa tabu lkn uongozi wa chuo ulishatatua tatizo hilo ss hv maji yapo yakutosha na nikila siku yanatoka. Karibu sana udom usiwe na wasiwasi me nipo college of humanities and social sciences nasoma BOCA
Back
Top Bottom