Kimtazamo wa kampeni ziendavyo hapa jijini, CHADEMA inaonekana kama chama tawala kilichoshindwa kuunganisha makundi mbalimbali ya kijamii na kuleta maendeleo, mbunge anaemaliza muda wake Mh. Lema ameshindwa kujipambanua na kueleza kwa yakini ni nini amewafanyia watu wa arusha mjini, hoja...
Ccm inaweza kuzima ndoto hizi za ukawa endapo tu bila haya watasema walikosea na yaliopita si ndwele, wakiri hadharani walifanya ndivyo sivyo kwenye kamati ya maadili. Hapo watakuwa wamejisafisha na vinyongo itapungua vinginevyo tujiandae kuwa wapinzani.
Ok nimekupata@ Nyerere kama ambavyo nilikuwa najua kesi ya msingi ya Lema bado. Kilichokuwa kinajadiliwa na mahakama ni mapingamizi ya awali ya hiyo kesi.
Nadhani sasa ni muda wa kuanza kujipanga na kuangalia ahadi zake alizotoa wana arumeru wanamatumaini makubwa na mbunge wao mpya. Ajipange vizuri kuwasaidia wananchi na sio kila siku kupambanisha wananchi na serikali yao nadhani ajifunze zaidi kutoka kwa mbunge mnyika kuliko kujifunza kwa mbunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.