Ukipita kituo cha oyserbay asubuh ni watu wanatolewa huko mahabusu hawawezi hata kutembea miguu imeharibiwa, imefungwa pop na bado zinavuja damu. Nlikuwa hapo sku moja ikaja landcruser yenye tinted kuchukua jamaa walioteswa mpaka hawawezi kutembea nliwaonea huruma mnoo na unakuta ni suspected...
Itakuwa walishakaa kimya mno mpaka imefikia hatua hii ni mambo yanajisema yenyewe. Kwanza bado serikali ipo kimya kwa kusema sio ugaid ni majambazi. Hakuna chombo cha serikali kilichoreport ni ugaidi.
Ila possi ni intellectual (DR) angekuwa albino na standard 7 kama jamaa asingechaguliwa popote, na alikuwa ni lecturer pale UDOM nafkir amebobea kwenye sheria, kuwa balozi naona kama nguvu kazi tumeipoteza kwa maana kwa usomi wake angeweza kusaidia taifa zaid akiwa ndani ya nchi, maana possi ni...
Point mkuu ni idea safi mnoo, maana hata ardhi ipo ya kutosha, tukiweka sawa soko la bidhaa zinazotokana na kilimo yaani mazao. Baadhi ya vijana wengi wangeingia kwenye kilimo na mwisho wa siku wangejikwamua.. ila sahiv tupo kama NYUMBU hatujui tusifie lipi lipi tukosoe
Raia wanaoishi kuzunguka kiwanda hicho maisha yao yapoje. Na wana mpango gani nao? Sijaskia akizungumzia hilo. Maana sjui hapo kama ni eneo la viwanda.
ACT Ni chama cha wazalendo, na hakuna pimbi atakayetambua umuhimu wa ACT, kama sio mzalendo wa nchi hii. pamoja na kashfa mnazompa zitto hayo yamepita na ameamua kujisafisha kwa kujiunga na chama kingine ili afute makosa na arudishe iman kwa watanzania, sasa bado tuu mnamuandama, hyo sio akili,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.