Recent content by lelulelu

  1. lelulelu

    Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

    Amenidanganya nini,we unajua amenifundisha nini ? Acha huo uboya. Kwani kila mtu anachofanya kwenye forex amefundishwa ? Si kuna mambo ambyo mtu hufanya kwa utashi wake tu ?,we ni forex trader gani hujui haya ? Hata huo ushauri wako siutaki. Kama huna mchango potea mazima baki na ushauri wako...
  2. lelulelu

    Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

    Nifundshe mkuu mana kuna ktu umeongaa hapo kwamba niache mawazo ya kurudsha hela,na hayo mawazo huwa ynakuja ila sina hela. Ila kwa sasa hv nimepigwa na butwaa nifundishe mkuu
  3. lelulelu

    Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

    Fafanuwa zaidi mkuu zijakupata bado,na ikowezekana nipe hata ushauri maana najiona kama nimevurugwa hivi
  4. lelulelu

    Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

    Da mkuu umenipa moyo sana ase ila hata mm kwa upande wangi hli ni tatozo mana bimkubwa alinipa mimi pesa za shule kwa dogo langu aende alafu bimkubwa maisha yake ni ya kawaida tu kaka,nikimuambia nimebeti ah itakuwa timtim tu
  5. lelulelu

    Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

    Wewe sio trader mkuu huwezi kuelewa hizi ishu,wabwia unga wakikwambia arosto huwezi kuwaelewa utawaona wapumbavu ila kiuhalisia ni kitu kweli ipo na inawatafuna kinyama,so mkuu kama wewe sio trader huwezi elewa hizi mambo ase
  6. lelulelu

    Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

    Kumanina najuta aise kichwa kinaniuma hpa keshokutwa dogo anaenda shule na bi mkubwa ananiulizia
  7. lelulelu

    Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

    dah sijui nafanya nini mimi jamani.pesa ambayo ilikuwa ya matumizi ya nyumbani na nauli ya mdogo wangu kwenda shuleni niliingia ushawishi nikaipeleka kwenye forex. najuta sijui ntafanya nini mimi na sina sehemu ya kukopa sina mchele wala unga ndani,upumbavu wangu mimi kuipeleka laki tatu yote...
  8. lelulelu

    Uislamu haujakataza asiye muislamu kula mchana wa ramadhani, siungi mkono wasio waislamu kuzuiwa kula mchana

    Wejamaa ukisifiwa ndo unaona siiifaa akati vitu viko wazi kabisa nchi zote za waslamu wengi ilo swala la kula hazarani mchana no no
  9. lelulelu

    Nikipata pesa sijengi msikiti/kanisa kwanza kwa sababu hizi

    imebidi nimsechi uyu bwanaa safuha nione uzi zake namaoni yake kuusu din
  10. lelulelu

    MSAADA: Nakojoa kitandani licha ya kuoa

    So howabout me mkuu nichange mazingira ?
Back
Top Bottom