Recent content by lelulelu

  1. lelulelu

    Nimechaguliwa kusoma Clinical Medicine, nijiandae vipi wakuu?

    Itasumbua kwa kozi yyte nikitaka kusoma au kwa kozi ya udaktari ?
  2. lelulelu

    Nimechaguliwa kusoma Clinical Medicine, nijiandae vipi wakuu?

    mkuu maisha ni kuamua tu,nimemaliza clinical medicine nimepata GPA ya kiume ya 3.3 kwa sasa mimi ni C.O ninayeweza kutibu vyema. Haya maisha ukitaka lako jipe muda na fuata unachotaka utafanikiwa tu.
  3. lelulelu

    Je, ni sahihi nikimwambia baba mkwe matatizo yangu lakini mke wangu (mwanae) asijue?

    Nani kasema matatizo ya mke wangu ? Mbona hamsomi vizuri wakuu.
  4. lelulelu

    Je, ni sahihi nikimwambia baba mkwe matatizo yangu lakini mke wangu (mwanae) asijue?

    Uhusiano wetu ni mzuri tu,na setimes huwa analalamika kwamba nikipata shida kwa nini simuambii yeye ambaye ni mwanaume mwenzangu badala yake napiga kimya. SO mimi naona ni mtu ambaye anapenda nimshirikishe shida zangu kwa sababu yew ni mwanaume na anaexperience sana na haya maisha
Back
Top Bottom