mkuu maisha ni kuamua tu,nimemaliza clinical medicine nimepata GPA ya kiume ya 3.3 kwa sasa mimi ni C.O ninayeweza kutibu vyema.
Haya maisha ukitaka lako jipe muda na fuata unachotaka utafanikiwa tu.
Uhusiano wetu ni mzuri tu,na setimes huwa analalamika kwamba nikipata shida kwa nini simuambii yeye ambaye ni mwanaume mwenzangu badala yake napiga kimya.
SO mimi naona ni mtu ambaye anapenda nimshirikishe shida zangu kwa sababu yew ni mwanaume na anaexperience sana na haya maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.