Amenidanganya nini,we unajua amenifundisha nini ?
Acha huo uboya.
Kwani kila mtu anachofanya kwenye forex amefundishwa ?
Si kuna mambo ambyo mtu hufanya kwa utashi wake tu ?,we ni forex trader gani hujui haya ? Hata huo ushauri wako siutaki.
Kama huna mchango potea mazima baki na ushauri wako...
Nifundshe mkuu mana kuna ktu umeongaa hapo kwamba niache mawazo ya kurudsha hela,na hayo mawazo huwa ynakuja ila sina hela.
Ila kwa sasa hv nimepigwa na butwaa nifundishe mkuu
Da mkuu umenipa moyo sana ase ila hata mm kwa upande wangi hli ni tatozo mana bimkubwa alinipa mimi pesa za shule kwa dogo langu aende alafu bimkubwa maisha yake ni ya kawaida tu kaka,nikimuambia nimebeti ah itakuwa timtim tu
Wewe sio trader mkuu huwezi kuelewa hizi ishu,wabwia unga wakikwambia arosto huwezi kuwaelewa utawaona wapumbavu ila kiuhalisia ni kitu kweli ipo na inawatafuna kinyama,so mkuu kama wewe sio trader huwezi elewa hizi mambo ase
dah sijui nafanya nini mimi jamani.pesa ambayo ilikuwa ya matumizi ya nyumbani na nauli ya mdogo wangu kwenda shuleni niliingia ushawishi nikaipeleka kwenye forex.
najuta sijui ntafanya nini mimi na sina sehemu ya kukopa sina mchele wala unga ndani,upumbavu wangu mimi kuipeleka laki tatu yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.