Basi huyo umjuaye wewe umemsoma katika lugha ipi, hija yake wafanyia kijijini kwenu au unavuka bahari ,
Najaribu kuwaza na kukuelewa, nashindwa! Wajitapa kwa kumjua Mungu wa jirani yako, tena Mungu huyu sio wa babu wala bibi zako kule kijijini!?
Hivi huko ughaibuni wanafundishwa haya haya kweli...?
Labda vyuoni wakiwa wanasoma "kozi" zinazohusu maeneo mengine, kwa sababu na wao wako na historia zao, tena kubwa na pana tuu
Hii mitaala yetu hii na hivi vitabu vitumikavyo sijui nani aliviandaa? MKOLONI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.